Wednesday, January 23, 2019

Alichokifanya Mavunde kwa mtoto aliyekatwa miguu yote hospitali ya Mkapa

Naibu Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshugulikia Kazi, Ajira na Vijana ambaye pia ni Mbunge wa Dodoma Mjini Anthony Mavunde ametimiza ahadi ya kumkabidhi katika shule ya Fountain Gate Academy mtoto Christopher Elias ambaye alikatwa miguu yote katika hospitali ya Benjamin Mkapa iliyopo Dodoma baada ya kupatikana na maradhi ambayo hayakubainishwa kwa sababu za kitaalam.